Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Mhe Hamza S. Johari amewasilisha Bungeni Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali wa Mwaka 2025 (The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Bill, 2025).
Mh Johari amewasilisha muswada leo June 5 - 2025 katika Mkutano wa Kumi na tisa,kikao cha Arobaini cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloendelea jijini Dodoma.







