Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ametuletea Benki ya Ushirika vijijini nchini Tanzania

GEORGE MARATO TV
0

 

Chigaitan mapinduzi vijijini 

Katika mapinduzi ya kimaendeleo nchini Tanzania Mh.Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amewapelekea benk ya ushirika  watanzania vijijini.

Anasema Dkt Samia Suluhu Hassan katika uzinduzi wa benki ya Ushirika "Benki ya ushirika ni kichocheo cha maendeleo hasa ya kilimo vijijini"

Kwa mtaji wa zaidi ya Bilion 50 benki ya Ushirika imezinduliwa haya ni mapinduzi ya kihistoria katika historia ya ushirika nchini Tanzania

Kwa mujibu wa chigaitan mapinduzi vijijini.  Taifa lolote lenye ushirika na makampuni imara ndiyo nguzo kuu ya uchumi wa taifa.

Leo nchini Tanzania waziri mkuu Kasimu Majaliwa,  Waziri kijana Hussein Bashe(Mb)  akishirikiana na  Abdulmajid Mussa Nsekela, Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania wameongoza mapinduzi anayohubiri mwandishi mahiri wa mapinduzi vijijini nchini Tanzania CHIGAITAN

Uchumi wa ushirika ni njia kuu ya mafanikio ya uchumi wa hasa watu wa vijijini nchini Tanzania.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top