Waziri Kikwete awasilisha Muswada wa Sheria ya Kazi

GEORGE MARATO TV
0

 


 Nimewasilisha Muswada wa Sheria ya marekebisho ya sheria za Kazi (The Labour Laws (Amendments) (No. 13) Bill, 2024), Bungeni Dodoma tarehe 14 Januari, 2025. Nimetumia kikao hicho kuwahabarisha wajumbe jitihada zinazofanya na serikali kutatua changamoto zinazowakabiri Watumishi Tanzania wakiwemo wale wanaojifungua watoto NJITI na changamoto za utatuzi wa migogoro ya Ajira Nchini. #KaziInaendelea #KaziNiUtu






Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top