Rais Samia akutana na Rais Wa Benki Ya Dunia,Wakiwemo Viongozi Mbalimbali wa Kimataifa.

GEORGE MARATO TV
0


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Benki ya Dunia Bw. Ajay Banga, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 27 Januari, 2025.





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Taasisi ya Rockefeller Dkt. Rajiv Sha Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 27 Januari, 2025.





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bi. Amina Mohamed Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 27 Januari, 2025.






Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top