Waziri Kikwete akabidhi Tiketi Vijana Kwenda Nje ya Nchi Kwa Mafunzo

GEORGE MARATO TV
0


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete, leo amewakabidhi tiketi za safari kwa vijana 26 kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini wanaokwenda kwenye programu ya mafunzo kwa vitendo nje ya nchi.

Vijana hao watakwenda nchi za Ujerumani, Sweden, na Denmark,kupitia programu inayowezeshwa na Taasisi ya CRDB Bank Foundation kwa kushirikiana na Ushirika wa Wajasiriamali Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Sokoine (SUGECO)







Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top