Wadau wa madini wakitazama madini ya vito

GEORGE MARATO TV
0


Wadau wa madini wakiangalia madini ya vito yaliyowasilishwa katika Eneo Tengefu la Mirerani ikiwa ni sehemu ya mnada wa madini ya vito unaotarajiwa kufanyika kesho Desemba 14, 2024 Wilayani Simanjiro mkoani Manyara ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde._










Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top