Naibu Waziri Mkuu ashiriki Misa na Kuaga Mwili wa Ndugulile

GEORGE MARATO TV
0


 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Disemba 2, 2024 ameshiriki Misa ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika, Marehemu Dkt. Faustine Ndugulile iliyofanyika katika Viwanja vya Karimjee, Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza waombolezaji kuaga mwili wa marehemu Dkt. Ndugulile na Viongozi mbalimbali wa Kitaifa akiwemo Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Shirikisho la Mabunge Duniani (IPU).







Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top