Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Disemba 2, 2024 ameshiriki Misa ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika, Marehemu Dkt. Faustine Ndugulile iliyofanyika katika Viwanja vya Karimjee, Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa