Mwenyekiti wa UVCCM Taifa afanya tukio kubwa Arusha.

GEORGE MARATO TV
0

 


Aongoza msafara mkubwa wa bodaboda kwenda ukumbi wa AICC 





Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi na mjumbe wa kamati kuu ya CCM Mohammed Ali Kawaida (MCC) ameongoza maelfu ya maafisa usafirishaji (bodaboda) wa jiji la Arusha kuelekea Ukumbi wa AICC kunakofanika Mkutano wa Maafisa usafirishaji Arusha.

 Mwenyekiti UVCCM taifa ndio atakuwa mgeni rasmi wa Mkutano huo.







Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top