Aliyekuwa Rais wa Zambia Edgar Lungu agonga Mwamba Kuwania Tena Urais

GEORGE MARATO TV
0



Mahakama ya Katiba nchini Zambia imetoa maamuzi  kuwa Rais wa zamani wa nchi hiyo, Edgar Lungu hawezi kuwania tena kiti cha Urais kwenye  uchaguzi wa mwaka 2026 kwa kuwa tayari amehudumu mihula miwili.

Mahakama hiyo imeamua kuwa muda ambao Lungu alihudumu kama Rais wa taifa hilo kuanzia mwaka 2015 hadi 2021 kufuatia kifo cha Michael Sata aliyekuwa madarakani, kinahesabiwa kama mihula miwili.



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top