Veta kutoa mafunzo kwa madereva bodaboda

GEORGE MARATO TV
0


Ofisa habari wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi(VETA) David Edward amesema kuwa mafunzo wanayotoa kwa sasa na wanayotarajia kuyatoa katika  vyuo vingine hapa Nchini yataenda kupunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la ajali ambazo zimekuwa zikisababishwa na madereva hao wa bodaboda. 

Edward ameyasema hayo Jijini Mwanza wakati akizungumza na Jambo digital na kuongeza kuwa mafunzo hayo yatamsaidia dereva huyo kujua mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na udhibiti mwendo hali ambayo itawasaidia kuzijua sheria za usalama barabarani.









  

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top