WATU WANNE WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI MBAYA MKOANI PWANI

GEORGE MARATO TV
0

 

Watu wanne wamefariki dunia kwenye ajali mbaya iliyohusisha basi la abiria na lori la mafuta mkoan Pwani.

Ajali hiyo mbaya imtokea leo Agosti 22 majira ya saa nane mchana katika eneo la Vigwaza Chalinze wilayani Bagamoyo.

Kamanda wa jeshi la polisi Pwani SACP PIUS LUTUMO amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

Mwenyekiti kamati ya ulinzi na usalama ambae pia ni mkuu wa mkoa wa Pwani Alhaj Aboubakar Kunenge akiambatana na kamati ya ulinzi na usalama amefika katika eneo la illipotokea ajali hiyo.





Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top