Picha za matukio mbalimbali ya Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais Dkt.Nchimbi Ndani Ya Jimbo La Nanyamba,Mtwara Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel John Nchimbi leo Alhamisi Oktoba 2,2025,akiwahutubia Wananchi wa jimbo la Nanyamba,wakati akielekea wilaya ya Tandahimba kwenye mkutano wake mkubwa wa hadhara wa Kampeni,akiendelea kuzisaka kura za ushindi wa kishindo za Chama Cha Mapinduzi (CCM).
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.










