PICHA za matukio mbalimbali wakati Mgombea Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, alipokuwa akiwasili katika viwanja vya Maegesho, Kata ya Boma, Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi kwa ajili ya kuwahutubia Wananchi katika mkutano wake wa hadhara wa Kampeni leo Ijumaa Oktoba 03,2025.
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.









