Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Dkt. Rhimo Nyansaho, (kulia) amepokelewa Makao Makuu ya PSSSF jijini Dodoma na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Bw. Abdul-Razaq Badru (kushoto), kuanza majukumu yake rasmi kufuatia uteuzi wake uliofanywa Mei 26 mwaka huu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan