Dkt Nyansaho Aanza Kazi Kwa Kishindo

GEORGE MARATO TV
0

 


Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Dkt. Rhimo Nyansaho, (kulia) amepokelewa Makao Makuu ya PSSSF jijini Dodoma na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Bw. Abdul-Razaq Badru (kushoto), kuanza majukumu yake rasmi kufuatia uteuzi wake uliofanywa Mei 26 mwaka huu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan






Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top