Mwanasheria Mkuu wa Serikali akishiriki kikao cha Bunge Jijini Dodoma Aprili 30 - 2025

GEORGE MARATO TV
0

 

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Samwel M. Maneno na Mwandishi Mkuu wa Sheria, Bw. Onorius J. Njole wakifuatilia mijadala mbalimbali wakati wa  Mkutano wa Kumi na Tisa, Kikao cha Kumi na Tano cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria inatarajiwa kuwasilishwa katika Kikao hicho cha Bunge leo tarehe 30 Aprili, 2025.




#BajetiyaWizarayaKatibanaSheria

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top