Steven Wasira amrithi Abdulrahman Kinana Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara
January 18, 2025
0
Mwenyekiti wa Chama Chamapinduzi(CCM)Rais Samia Suluhu Hassan amewasilisha katika Mkutano Mkuu wa CCM Jina la Mwanasiasa Mkongwe nchini Steven Wasira kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Tanzania Bara.
Share to other apps