Naibu Waziri Mkuu akutana na Profesa Janabi

GEORGE MARATO TV
0

 

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na Mshauri wa Rais Masuala ya Afya na Tiba, Profesa Mohamed Yakub Janabi mara baada ya hafla ya Uapisho wa Mawaziri na Viongozi mbalimbali uliofanyika Ikulu ndogo Tunguu, Zanzibar, Disemba 10, 2024.



Dokta Ashatu Kijaji Waziri wa Mifugo na Uvuvi akila Kiapo


Hamisi Mwinjuma Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo


Abdalah Ulega Waziri wa Ujenzi


Hamad Masauni Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira


Innocent Bashungwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi


Dkt.Damas Ndumbaro Waziri wa Katiba na Sheria


MaryPrisca Mahundi Naibu waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari



Profess Palamagamba Kabudi Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo


Jerry Slaa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top